Diplomasia
NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
Habari ID: 3477634 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
BRUSSELS (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya alielezea kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kama "vitendo vya kutowajibika vya watu wasiowajibika".
Habari ID: 3477408 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/09
Kadhia ya Palestina
BRUSSELS (IQNA)- Katika kikao chake cha hivi karibuni kabisa, Bunge la Ulaya limeutaka Umoja wa Ulaya na nchi wanachama wa umoja huo kuitambua rasmi nchi ya Palestina.
Habari ID: 3477280 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/14
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya juu ya Umoja wa Ulaya (EU) imetoa uamuzi wa kuzuiwa kwa wanawake wenye hijabu kuingia katika maeneo ya kazi, ikidai kuwa marufuku hiyo haimaanishi ubaguzi.
Habari ID: 3475933 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) –Umoja wa Ulaya umetuhumiwa kuwa unapuuza chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3475378 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/15
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Ulaya (EU) umekariri wito wake kwa utawala haramu wa Israel usitishe mpango wake wa kujenga vitongoji zaidi vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474486 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/29